Secondary mkuuLevel gan
Sekondary mkuuShule level/ngazi ipi..kuna s/msingi,sekondari..na hata chekechea.
Wasiliana na ofisi inasaidia kutafuta shule na vyuo namba zao ni 0769648110Habarini za muda huu wakuu. Nimekuja kwenu nahitaji msaada Nina wadogo zangu nawasomesha naulizia shule nzuri za private wilayani kahama mkoa wa shinyanga ambapo watapata elimu bora. Mbarikiwe
Anderleck.....John Paul......Kwema Sec......Queen girlsSekondary mkuu
Naeza pata mawasiliano ya hapo mkuu tafadhaliDon Bosco Seminary, ipo didia kahama
Naeza kupata mawasiliano ya hapo mkuu Tafadhali.Anderleck.....John Paul......Kwema Sec......Queen girls
Shule ipi kati hizo hapo nilizoziandika...,??
Hizi shule ni kubahatisha mkuu si hua wana interview nikipata tu hata mawasiliano ya zote kama inawezekana ntashukuru sana.Shule ipi kati hizo hapo nilizoziandika...,??
Usijali kesho ntakuangaliziaHizi shule ni kubahatisha mkuu si hua wana interview nikipata tu hata mawasiliano ya zote kama inawezekana ntashukuru sana.
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app