Natafuta shamba Msata barabara ya Bagamoyo

Natafuta shamba Msata barabara ya Bagamoyo

ishiveti

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
1,019
Reaction score
519
Wapendwa salam,

Naomba mwongozo wa bei ya shamba heka moja Msata barabara ya Bagamoyo.

0713 291 947
 
Wapendwa salam,

Naomba mwongozo wa bei ya shamba heka moja Msata barabara ya Bagamoyo.

0713 291 947

Mcheki afisa mmoja hivi yupo kule kule pwani anaweza kukupatia mwongozo. 0713 019978
 
Huyo ni dalali au afisa wa nini?
 
Huyo ni dalali au afisa wa nini?
Hata dalali pia ni afisa,
Au ushameza afisa mifugo
Afisa kilimo
Afisa afya
Afisa bla bla bla bka
Hata wewe unaweza kuwa afisa kulingana na nafasi yako kwenye jamii inayokuzunguka.
 
Hata dalali pia ni afisa,
Au ushameza afisa mifugo
Afisa kilimo
Afisa afya
Afisa bla bla bla bka
Hata wewe unaweza kuwa afisa kulingana na nafasi yako kwenye jamii inayokuzunguka.

Ha ha ha haaa
 
thanks
ningependa kufaha hekainasonga kwa bei gan aeno hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom