Natafuta shamba la kununua

JosphatiG

Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
43
Reaction score
7
Habari zenu bandugu nahitaji mashamba ya kulima yaliyo karibu na sio mbaali sana na makazi ya watu kwaajiri ya usimamizi wa karibu, itapendeza kama yatapatikania maeneo ya Morogoro & Tanga
Nitafute kwa no.+255755500814
 
Vibarua nilisha wa weka ndio walikuwa wana malizia kusafisha heka ya 3 jana
 
Heka 10 Mwavi Kiwangwa, zimeshalimwa kwa treckta zinasubiri kupandwa. Nipe offer.
 
Nina heka 3 morogoro maeneo nauza be yakawaida nilitaka kuanza kulima mwezi huu ila nimepata scholarship ya nenda masomoni nje.. Kama upo tayari nipigie 0714651666
Moro sehemu gani?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…