Wadau wa jamvini Habari. Natamani kununua shamba Moshi, maeneo ya kuanzia Machine Tools mpaka Uchira. Eneo linalofaa kwa kuishi na kilimo/Ufugaji minimum ekari 2. Umbali wa kutoka huduma za maji na barabara uzingatiwe ikiwezekana.
Mwenye tetesi awasiane kwa 0754480 513 / mahomamat@gmail.com.
Asanteni
Mwenye tetesi awasiane kwa 0754480 513 / mahomamat@gmail.com.
Asanteni