Natafuta shamba Kibaha

Natafuta shamba Kibaha

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Natafuta shamba kibaha-Kuanzia heka 1 hadi 5/any
Kiwe ndani ya kilometa 10 toka morogoro road/isizidi kilometa 10
Offer yangu haizidi 1mil kwa heka moja

Nawasilisha
 
Bei hiyo uwezi kupata. Kama una shilingi milioni 4 kwa heka nitakuuzia, lipo kibaha kongowe 4km kutoka morogoro road. Ukikubali nitakupa contact zangu
 
Mi nina heka 2.5 maeneo ya Kibaha kwa Mathias, shamba liko km 8 toka barabara ya lami (karibu na Jeshi la Nyumbu).

Bomba la maji liko mita 50 toka shambani, pia upande mmoja wa shamba una pakana na mto (source nzuri ya kuvuna maji kwa matumizi mbali mbali)

Bei yangu ni Tsh. 12mil. Ukihitaji ni pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom