gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
mwali nin kinaendelea hapa
mbn sielewo mwenzio!
halafu huo uzalendo sijui umeuanza lini. hebu rudisha kile kitanda bana.
mwali hapa utaugua kichwa buree kaja huyu Francis mkandala anatafuta bwana, kasema email yake ni irine xxx sasa baadae akaja huyu mtu anaitwa lisa nae akapost kumsaidia kujibu, huku na huko tukagundua ni multiple ID. kama kawaida nikaenda kwenye ususkununu wangu nikamkuta huyu bwana ni me ila yaelekea ndimu yake haikozi bibieeeeeeeee sasa imebidi tubanane nae hapa mjini kutafuta mabwana.
sijakaa sawa akaja huyu Mpole sana nae akaanza kumsapoti ila sasa huyu akawa anajipigia jalamaba ikabidi niende kumjua zaid nikakuta nae ni wale wale wavaa suruali lakini wanageza kukojoa kwa kuchutama. sasa ndo nikawa namwambia mwanangu Blaine asiumize akili kwa huyu ------- anotaka akugeza chutamo la kike ilihali tundu hana.
Last edited by a moderator: