Natafuta ramani ya nzuri ya nyumba

Natafuta ramani ya nzuri ya nyumba

shabaan Dogo

Senior Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
196
Reaction score
82
Naomba ramani ya chumba kimoja cha futi 12kwa 16 huo ni ukubwa wa chumba tu kiwe na choo na seble nadhani nimeeleweka .
Ukubwa wa chumba futi12 kwa 16
Ukubwa wa choo futi 4 kwa 8
Ukubwa wa sebule futi4 kwa 8,
Naomba mchoro mzuri


Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa futi 4 ni kitu gani? sebule au kichochoro?
Yaani sebule ilingane na choo?
Labda kama ni kijumba cha udogo unajijengesha kama mtoto mdogo.
 
Naomba ramani ya chumba kimoja cha futi 12kwa 16 huo ni ukubwa wa chumba tu kiwe na choo na seble nadhani nimeeleweka .
Ukubwa wa chumba futi12 kwa 16
Ukubwa wa choo futi 4 kwa 8
Ukubwa wa sebule futi4 kwa 8,
Naomba mchoro mzuri


Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app

Mkuu karibu nile_house_designs tukuhudumie,
Waweza pitia baadhi ya kazi zetu ktk uzi huu


Call/WhatsApp 0715477041
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom