shabaan Dogo
Senior Member
- Apr 27, 2014
- 196
- 82
Naomba ramani ya chumba kimoja cha futi 12kwa 16 huo ni ukubwa wa chumba tu kiwe na choo na seble nadhani nimeeleweka .
Ukubwa wa chumba futi12 kwa 16
Ukubwa wa choo futi 4 kwa 8
Ukubwa wa sebule futi4 kwa 8,
Naomba mchoro mzuri
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Ukubwa wa chumba futi12 kwa 16
Ukubwa wa choo futi 4 kwa 8
Ukubwa wa sebule futi4 kwa 8,
Naomba mchoro mzuri
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app