Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,029
- 52,507
- Thread starter
-
- #21
endelea kuamini watu wananijua humu liveWewe miss natafuta sio mwanamke ni mwanaume kabisa, hutaki nitoe ushaidi hapa nikuumbue. Sasa hapo huko katika uhalisia wako unatafuta mke.
Roho mbaya ipo wapi, njoo na sura yako halisi..acheni roho mbaya
Basi na mimi nataka nikujue live, nijihakikishie kama kweli wewe ni ke , unaweza ukawa rafiki yangu wa kufa na kuzikana.endelea kuamini watu wananijua humu live
kama wewe wa kike sawaBasi na mimi nataka nikujue live, nijihakikishie kama kweli wewe ni ke , unaweza ukawa rafiki yangu wa kufa na kuzikana.
Miss natafuta kwani hakuna urafiki wa kweli kati njisia ya kike na kiume? Mbona wapo wengi tu.kama wewe wa kike sawa
Dunia imefikia mwishonatafuta rafiki wa kweli
jinsia awe mwa kike
miaka 30-50
awe anaishi dsm
awe mpenda out ajue viwanja awe ananitembeza ila tu asiniuze maana wanawake sisi? sitaki kudalaliwa
awe na kipato asinifanye buzi lake maana wamama sisi tunapenda kuchuna wenzetu kinafiki tukitoka kila mtu atalipia bill yake.
ukitaka tutaishi wote kama una mtoto asizidi mmoja .
dini yoyote isipokuwa mlokole ,msabato au shahidi wa jehova
usiwe mlevi au na cv mbaya mjini
njoo pm
Lesbians
mwanaume ana nafasi yake na wa kike ana nafasi yakeMiss natafuta kwani hakuna urafiki wa kweli kati njisia ya kike na kiume? Mbona wapo wengi tu.
hayo ni mawazo yako potofuDunia imefikia mwisho
na ndio maana nimeandika mwenyewe ww unaandikiwa hapo?hayo ni mawazo yako potofu
Nafasi yangu ni kubwa sana kwako zaidi ya huyo unayemtafuta, kama hutojali twende pm haraka tukayamalize mamamwanaume ana nafasi yake na wa kike ana nafasi yake
na siwezi kukuzuia kuwaza hivona ndio maana nimeandika mwenyewe ww unaandikiwa hapo?
kama wewe una sifa nilizotaja sawa kama huna niache kabisaNafasi yangu ni kubwa sana kwako zaidi ya huyo unayemtafuta, kama hutojali twende pm haraka tukayamalize mama
ahahaa poleHii movie nzur sana
Ngoja nikae vzr katika kigoda changu
Ila asante kwa kunitetea kuleeeeee kenye mambo ya ulimwengu wa 3
Hapo ulipo hamna wanawake au unaishi kuzimu?! Na inawezekana wewe ni mcharuko ulioshindikana. Wanawake kuweni na tahadhari na mtu huyukinachokufanya unione mmama au binti ni kitu gani maana sijajitambulishahapa
hujaitwa hapa kojoa ulaleHapo ulipo hamna wanawake au unaishi kuzimu?! Na inawezekana wewe ni mcharuko ulioshindikana. Wanawake kuweni na tahadhari na mtu huyu