Natafuta rafiki wa kweli

James Mwidoro

Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
71
Reaction score
93
Habari wana jamii,

Mimi naitwa James na nina miaka 31, sijaoa wala sina mtoto. Natafuta rafiki wa kike ambae yupo serious katika urafiki tu na ambaye atakuwa muwazi katika kushirikishana mambo yanayotuhusu. Kigezo changu kikubwa ninayemuhitaji ni rafiki wa kike tu sitajali hata akiwaje, cha muhimu akubali kuwa rafiki kwangu na pia awe muwazi tu, nitashukuru sana.

Pia kama utaona huu uzi unakukera nitaomba upite bila kucomment wala kupm.
 
kama ni urafiki tu,karibu PM udondoshe namba yako.
 
Tuma namba
 
Mimi pia nilikuwa natafuta siku nyingi sana, nashukuru leo nimepata
 
[emoji121]
WEKA PICHA!

[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…