Natafuta rafiki wa kiume

shuleni hatuendi kutafuta wapenzi,wala kanisani c mahali pa kutongozana ni mahali pa elimu na ibada
 
mapenzi yamegeuka elimu huyu masters yule diploma au chety hivi mmesahau kuna PHD zingine mashoga? tafuteni mashababi hata akiokota vyupa poa mbona jioni tunatoka chicha wote cocobeach na usiku PHD zetu za viuno zinaburudisha vya kutosha khaaaaa
alafu awe dini flani ili iweje mbona una mwaka kanisani au msikitini unatafutwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…