mwathu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 403
- 210
Mimi ni kijana wa kiume natafuta rafiki wa kike (sio mapenzi) kwa ajili ya kushauriana na Kushare mambo mbali mbali ya kimaisha. Ni vyema rafiki huyo akawa na umri kati ya miaka 18-25 na elimu ya Chuo, mchamungu na kama ameajiriwa ni vizuri zaidi.
Kwa alie tayari ani PM nitampa namna nzuri zaidi ya mawasiliano.
karibuni.
Kwa alie tayari ani PM nitampa namna nzuri zaidi ya mawasiliano.
karibuni.