Natafuta rafiki wa kike

Natafuta rafiki wa kike

undergone

Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
99
Reaction score
54
Goodmorning friends

Natafta rafiki wa kike wa kupendana baadae kuja kuishi pamoja kama mke na mme, sifa zake awe na umri wa 18-24yrs, mkristo pia. Awe anasoma au hasomi sawa haitojalisha. Mimi nina miaka 26, ninasoma chuo kimoja hapa Tanzania, ni mkristo pia

NAHITAJI HUYO RAFIKI. KAMA UPO Tayari send for me a private message (PM).
 
Haya sasa akina dada msipoteze nafasi hyo adimu.
 
Punguza udomo zege WW,hcho Chuo hakina girls???
 
We kilaza sana umeona status inasema kuwa chuoni wanatafta girls,Kuwa mstaarabu kama huna cha kusema kuwa mkimya au pita hv.huo ni ujinga na upumbafu2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom