Natafuta rafiki wa kike tu

wazabangah1

JF-Expert Member
Jul 16, 2014
315
114
Mimi wazabanga natafuta rafiki wa kike mwenye sifa zifuatazo

. awe ni msema ukweli, ila palipo na uhitaji wa kudanganya asisite afanye hivyo

.elimu awe angalau kidato cha nne nakuendelea

.asiwe ni mtu wamaswali mengi Sana yatanifanya nishindwe kumuelewaa

.kwa mengine mengi ani pm ilitwende sawa.
Nashukuru kwa utulivu wenu, #nawasilisha
 
short and brief kama barua ya kuomba kazi? utawapata kweli kwa sababu swali la kwanza wangependa kujua kama una zile za ESCROW
 
Mimi wazabanga natafuta rafiki wa kike mwenye sifa zifuatazo

. awe ni msema ukweli, ila palipo na uhitaji wa kudanganya asisite afanye hivyo

.elimu awe angalau kidato cha nne nakuendelea

.asiwe ni mtu wamaswali mengi Sana yatanifanya nishindwe kumuelewaa

.kwa mengine mengi ani pm ilitwende sawa.
Nashukuru kwa utulivu wenu, #nawasilisha


mi natafuta lakin pamoja na sifa zoote mwisho awena angalau na miaka 32-40 je unayo tuongee vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom