wazabangah1
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 315
- 114
Mimi wazabanga natafuta rafiki wa kike mwenye sifa zifuatazo
. awe ni msema ukweli, ila palipo na uhitaji wa kudanganya asisite afanye hivyo
.elimu awe angalau kidato cha nne nakuendelea
.asiwe ni mtu wamaswali mengi Sana yatanifanya nishindwe kumuelewaa
.kwa mengine mengi ani pm ilitwende sawa.
Nashukuru kwa utulivu wenu, #nawasilisha
. awe ni msema ukweli, ila palipo na uhitaji wa kudanganya asisite afanye hivyo
.elimu awe angalau kidato cha nne nakuendelea
.asiwe ni mtu wamaswali mengi Sana yatanifanya nishindwe kumuelewaa
.kwa mengine mengi ani pm ilitwende sawa.
Nashukuru kwa utulivu wenu, #nawasilisha