DavidMoyes
Member
- Apr 22, 2014
- 52
- 15
Mimi ni Mhandisi,mjasiliamali naishi Dar es salaam. Natafuta marafiki wa kike wa kuchati nao. Zaidi nitumie PM.
Watu wa aina yako ndio enzi mnasoma mlikuwa mnakesha usiku kucha halafu bado mnafeli. Huwezi kuwa unafanya kazi mda wote kama roboti,na pia we unajua Mhandisi ni wa ujenzi tu!kwa hiyo kama ni mhandisi unataka uwajengee nyumba? alafu mhandisi unayechat sijui unahandisi nini