Natafuta Quantity Surveyor (QS) wa bei nafuu

Natafuta Quantity Surveyor (QS) wa bei nafuu

mpitanjia2005

Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
40
Reaction score
5
Habari wadau,
Natafuta QS ambaye atanisaidia kunichambulia idadi ya material yatakayohitajika kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yangu.
Ramani na vipimo vyote vipo, anayemfahamu QS au QS mwenyewe ambaye yupo Dar naomba anisaidie namba zake za simu au aniPM....

N.B: asiwe na gharama za juu maana pesa zenyewe za kubangaiza......
 
We unapatikana Dar pia au maeneo gani?
Site ipo maeneo gani?
 
Ndugu yangu maeneo ya Kivule hayajapimwa, ina maana umeamua kujitoa muhanga, na sababu yenyewe kama ulivyosema ni fedha za kubangaiza, sasa QS wa nini tene kama sio gharama? Kwa ufahamu wangu mwenye kutafuta QS anataka kujua gharama ili afanye single and bulk purchase na ujenzi utachukua muda mfupi, hapo naona wewe haupo. nakushauri tafuta mafundi uanze ujenzi hatua kwa hatua.
 
Ndugu yangu maeneo ya Kivule hayajapimwa, ina maana umeamua kujitoa muhanga, na sababu yenyewe kama ulivyosema ni fedha za kubangaiza, sasa QS wa nini tene kama sio gharama? Kwa ufahamu wangu mwenye kutafuta QS anataka kujua gharama ili afanye single and bulk purchase na ujenzi utachukua muda mfupi, hapo naona wewe haupo. nakushauri tafuta mafundi uanze ujenzi hatua kwa hatua.

Mkuu upo sahihi kabisa, ila natafuta QS ili aweze kunichanganulia baadhi ya cost za material stage kwa stage, ili nijue kuwa naanza vipi....
 
Mkuu upo sahihi kabisa, ila natafuta QS ili aweze kunichanganulia baadhi ya cost za material stage kwa stage, ili nijue kuwa naanza vipi....

Mkuu hatua zenyewe za ujenzi hazihitaji sana ufahamu, msingi bila shaka ndio hatua ya kwanza, kabla ya kunyanyua kuta, sasa hapo unafikiri mafundi watashindwa kukwambia materials zinazohitajika? Anyway labda mimi nilijenga kienyeji sana lakini miaka imekatika ya kutosha na hakuna tatizo.
 
Ndugu Kaburu...tatizo hawa mafundi wanataja idadi ya material kwa makadirio ya juu sanaaaa...ss nataka nipate mchanganuo nione km unaendana nao...nimejaribu kwa mafundi wawili wamenitajia idadi ya materials kwa utofauti mkubwa sanaaa...
Basi nikaona nishirikishe wataalamu ili kupata mwangaza...pia unaweza nisaidia labda hao mafundi wako wanaweza kunipa makadirio mazuri...
 
Ndugu Kaburu...tatizo hawa mafundi wanataja idadi ya material kwa makadirio ya juu sanaaaa...ss nataka nipate mchanganuo nione km unaendana nao...nimejaribu kwa mafundi wawili wamenitajia idadi ya materials kwa utofauti mkubwa sanaaa...
Basi nikaona nishirikishe wataalamu ili kupata mwangaza...pia unaweza nisaidia labda hao mafundi wako wanaweza kunipa makadirio mazuri...


Mkuu hatua zenyewe za ujenzi hazihitaji sana ufahamu, msingi bila shaka ndio hatua ya kwanza, kabla ya kunyanyua kuta, sasa hapo unafikiri mafundi watashindwa kukwambia materials zinazohitajika? Anyway labda mimi nilijenga kienyeji sana lakini miaka imekatika ya kutosha na hakuna tatizo.

Mkuu upo sahihi kabisa, ila natafuta QS ili aweze kunichanganulia baadhi ya cost za material stage kwa stage, ili nijue kuwa naanza vipi....

Ndugu yangu maeneo ya Kivule hayajapimwa, ina maana umeamua kujitoa muhanga, na sababu yenyewe kama ulivyosema ni fedha za kubangaiza, sasa QS wa nini tene kama sio gharama? Kwa ufahamu wangu mwenye kutafuta QS anataka kujua gharama ili afanye single and bulk purchase na ujenzi utachukua muda mfupi, hapo naona wewe haupo. nakushauri tafuta mafundi uanze ujenzi hatua kwa hatua.

Habari wadau,
Natafuta QS ambaye atanisaidia kunichambulia idadi ya material yatakayohitajika kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yangu.
Ramani na vipimo vyote vipo, anayemfahamu QS au QS mwenyewe ambaye yupo Dar naomba anisaidie namba zake za simu au aniPM....

N.B: asiwe na gharama za juu maana pesa zenyewe za kubangaiza......

Naomba nitangulie kwa kukupongeza kwa hatua uliyofikia.hatua uliyonayo ni hatua bora na kwa wakati sasa.
Kifupi ni kwamba Afatecol tunaweza tukaifanya hiyo kazi tena kwa haraka na usahihi wa hali ya juu kwakua tuna wataalamu wa kutosha.

Kidogo naweza kusema nimekuelewe hali uliyonayo ya kiuchumi ukilinganisha na huitaji wako.lakini nikutoe hofu kwakua Afatecol imelenga kukupatie kile utakacho kwa huduma nafuu.lakini ningependa nianze kukupa ushauri wa bure na angalizo kama ifuatavyo;-
  1. Mafundi wanakawaida si tu ya kukutajia gharama ya juu lakini hata kukupa gharama ya chini ili kusudi muweze kuanza kazi,kosa wakigundua unapenda vya gharama ndogo watakutajia gharama ndogo ili uvutike naye na muanze ujenzi huku akijua material hayatatosha wakati yeye anajiesabu kuwa yuko site na anaingiza allowance,ukikwama kununua material hiyo haimuhusu.kwahiyo inabidi uwe makini katika eneo hilo.
  2. Lakini pia unaweza ukatumia gharama ya material watakayo kupatia ukawa unanunua awamu kwa awamu kwa kadri ujenzi utavyo kua unaendelea,cha msingi ni usimamizi mzuri wa matumizi ya material na hasa kama cement .mafundi wengine ukiwabana kwenye cement wanaiba ile mixer(yaani material yaliyokwisha kuchanganywa,kama mnamwaga zege huwa wanaiba zege iliyokwisha changanywa na kwenda kuuza iliyokwisha changanywa na kama wanapiga plaster huwa wanaiba mixer ya mchanga na cement na kwenda kuuza mahala ambapo ujenzi unaendelea,hivyo inakupasa pia kua makini katika eneo hili.
Kama utakua tayati tukufanyie kazi tunaomba utualike na ututumie email kupitia anuani ifuatayo, afatecol2013@gmail.com .

Tunaomba utupatie hiyo kazi mkuu
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru sana afarecol...
Naomba pia mnisaidie namba zenu za mkononi ili iwe rahisi kuwasiliana...
 
Nashukuru sana afarecol...
Naomba pia mnisaidie namba zenu za mkononi ili iwe rahisi kuwasiliana...
[TABLE="class: _5e7- profileInfoTable _3stn, width: 376"]
[TR]
[TH="class: label"]Phone[/TH]
[TD="class: data"]+255755630756 /+255788504153[/TD]
[/TR]
[TR="class: spacer"]
[TD="colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="class: label"]Email[/TH]
[TD="class: data"]afatecol2013@gmail.com[/TD]
[/TR]
[TR="class: spacer"]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom