Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 643
Wakuu, heshima kwenu
Nataka kuongeza wingo katika biashara ambayo nimewafungulia vijana wangu. Kwa kuanza nahitaji printer ambayo pamoja na kufanya mambo mengine iweze:
Bajeti yangu ni Sh. 250,000 - 350,000 kutegemeana na haqli ya printer yenyewe
Kama unayo weka specifications zake hapa au Pm
Asanteni
NB Nipo mwanza. Nipo tayari kumtuma kijana dar endapo nitakuwa nimejiridhisha pasi na shaka ubora wa mashine hiyo
Nataka kuongeza wingo katika biashara ambayo nimewafungulia vijana wangu. Kwa kuanza nahitaji printer ambayo pamoja na kufanya mambo mengine iweze:
- Kuprint picha - including passport kwa kutumia usb, cd n.k
- Fax
- Kutengeneza kadi mabalimbali (VITAMBULISHO, KADI ZA MIALIKO, HARUSI N.K)
Bajeti yangu ni Sh. 250,000 - 350,000 kutegemeana na haqli ya printer yenyewe
Kama unayo weka specifications zake hapa au Pm
Asanteni
NB Nipo mwanza. Nipo tayari kumtuma kijana dar endapo nitakuwa nimejiridhisha pasi na shaka ubora wa mashine hiyo