Natafuta Primary English medium school

Mbimbinho

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2009
Posts
8,328
Reaction score
7,804
Wakuu habari,
Samahani, mwenye kujua shule yeyote ya primary ambayo inafundisha katika media za Kiinglish msaada. Shule iwe ya boarding Ada isizidi 2m kwa mwaka, hapo kilakitu.
Mtoto nataka kuhamisha toka huku kayumba, anaingia darasa la tatu sasa.

Mikoani nayopendelea, Dar, Peanut, Morogoro, Dodoma, Tanga, Kilimanjaro na Arusha.

Asanteni sana Wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sorry wakuu, hapo kwenye Peanut please isomeke Pwani.

JF kulikoni sioni kitufe cha kuedit??
 
Nenda Twibhoki, ipo serengeti
 
Hazina international/ Tusiime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwache huko huko huku huwezi maana ada unapanga wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpeleke Queens English Medium.
Ipo Dar, mitaa ya Ukonga Sitakishari.
Wana boarding na utakuwa ndani ya bajeti yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20171128_155553.jpg
    59.2 KB · Views: 25
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…