Natafuta portable power station

Over the hedge

Senior Member
Joined
Sep 6, 2019
Posts
143
Reaction score
162
Habari wakuu
Naulizia portable power station kama hizi hapa chini za kuanzia watts 300 naweza kuzipata wap hapa bongo.
Pia zinauzwa kiasi gani?
 
mkuu kwanini usichukue panel, battery na inverter zikiwa separated ? hata maintenance inakua rahisi

maana zikiwa housed pamoja namna hiyo tegemea bei kupanda mara 3 bila sababu
 
Kaa humo upumzike kwa amani kiongozi
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-001633_AliExpress.jpg
    87 KB · Views: 21
  • Screenshot_20221130-001646_AliExpress.jpg
    105.3 KB · Views: 22
  • Screenshot_20221130-001625_AliExpress.jpg
    95.2 KB · Views: 19
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…