Natafuta pikipiki ya kununua

Natafuta pikipiki ya kununua

kingsaula

Senior Member
Joined
Nov 19, 2016
Posts
195
Reaction score
139
Nashida na TVS,PLATINA,DUMA,BOXER na aina zingne ambazo ni simple kwa ajili ya matembezi iwe kwenye hali nzuri burget ni lak 7 to 1 mil inategemea na chombo nipo temeke dsm(wailes) nichk 0718163740
 
Vizia siku za minada bwana unapata pikipiki bomba kabisa achana na huyo tapeli Jemedal_bin_chichi kwa fedha hiyo unavuta pikipiki ya maana na unabikwa na chenji
 
Vizia siku za minada bwana unapata pikipiki bomba kabisa achana na huyo tapeli Jemedal_bin_chichi kwa fedha hiyo unavuta pikipiki ya maana na unabikwa na chenji
Minada ipi mkuu? Ile ya madalali kama Majembe au ile minada ya watu binafsi?
 
Vizia siku za minada bwana unapata pikipiki bomba kabisa achana na huyo tapeli Jemedal_bin_chichi kwa fedha hiyo unavuta pikipiki ya maana na unabikwa na chenji
Kuna pikipiki ambazo zimekaa sana vituoni huwa vinatolewa vibali vya kuziuza kutoka mahakani na huwa vinauzwa hadharani pale unachukua boxer nzima mpaka kwa laki tatu, hivi juzi nimeichelewa kidogo one ten kwa laki na nusu na ilihitaji marekebisho kama ya laki moja tu mashine inatembea
 
Zunguka kwenye vijiwe vya Boda Boda utapata

Mrangi from gairo

Ova
 
Leta million moja nikuuzie Sanlg ambayo imetumika mwaka mmoja lakini ipo kwenye hali nzuri.
 
Kuna pikipiki ambazo zimekaa sana vituoni huwa vinatolewa vibali vya kuziuza kutoka mahakani na huwa vinauzwa hadharani pale unachukua boxer nzima mpaka kwa laki tatu, hivi juzi nimeichelewa kidogo one ten kwa laki na nusu na ilihitaji marekebisho kama ya laki moja tu mashine inatembea
Kama uliikosa ulijuaje ilihitaji matengenezo ya laki moja tu?
 
Wakati nafika nikamukuta jamaa anapiga mahesabu ya matengenezo na fundi, uliza swali jingine coz unaonekana wewe ni dalali
 
nashida na TVS,PLATINA,DUMA,BOXER na aina zingne ambazo ni simple kwa ajil ya matembez iwe kwny hali nzur burget ni lak 7 to 1 mil inategemea na chombo .nipo temeke dsm(wailes) nichk 0718163740
lete m1 mkuu nikuachie pikpik ya boxer bm150
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom