Natafuta pesa za zamani

Kimolah

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
570
Reaction score
774
Kwa wenye pesa zilizowahi kutumika kwenye mzunguko kama senti 1, senti 5, senti 10, senti 50, shilingi 1,5 ya noti, 10 ya noti, 20 na kuendelea.

Nahitaji kukusanya kwa ajili ya wanangu na wajukuu (actually sijaoa bado na sioi hivi karibuni, sina mtoto hata wa kusingiziwa), ukiwa nazo zilizoanza kutumika miaka ya 1960's 1970's 1980's 1990's mpaka 2000's.


Kama unazo tafadhali tuwasiliane.
 
Haya hizi hapa nilipe changu kabisa....!!

 
Ni pm mi ninazo na zile za wakoloni, zilizokuwa zinatumika east africa. Unanunuaje?
 

Ninazo 0757-482042


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko WAP mkuu mawasiliano tafadhali
 
Ninazo nyingi mno kama zote nicheki mda oote (jairomanb@gmail.com)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…