Forrest Gump
JF-Expert Member
- Jul 2, 2021
- 583
- 1,266
K.koo ni soko la Taifa,..kasi ya pesa na ukubwa wa uhitaji.
Fremu za mbele along bara barani ndio zenye potential kubwa ya mauzo, lakini sio cheap, ni 1million, 1.5 million, 2 million etc..bado zina competiton kupata na sio rahisi kupata ilio empty..so inakuhitaji kumvua mtu kilemba alieko katika fremu ina dependa 15ml, 2Oml ,30ml...etc, lakini ukishapata fremu ni kuenjoy mauzo tu.
Tunaweza share fremu moja na kuifanyia partition ila mlango unabaki kwa kuwa ni mali ya mzee baba au tunaweza kushare duka moja lenye bidhaa tofauti ila zinazo zinaoendana ili kutopoteza identity kwa wateja...e.g nguo na viatu, mikoba na viatu, .etc
Finally, taarifa zetu wote tutaweka kisheria ili kulinda trustworthy, ulipaji kodi na usalama..na bado mengi ya kuzungumza
Karibu PM.....................
Fremu za mbele along bara barani ndio zenye potential kubwa ya mauzo, lakini sio cheap, ni 1million, 1.5 million, 2 million etc..bado zina competiton kupata na sio rahisi kupata ilio empty..so inakuhitaji kumvua mtu kilemba alieko katika fremu ina dependa 15ml, 2Oml ,30ml...etc, lakini ukishapata fremu ni kuenjoy mauzo tu.
Tunaweza share fremu moja na kuifanyia partition ila mlango unabaki kwa kuwa ni mali ya mzee baba au tunaweza kushare duka moja lenye bidhaa tofauti ila zinazo zinaoendana ili kutopoteza identity kwa wateja...e.g nguo na viatu, mikoba na viatu, .etc
Finally, taarifa zetu wote tutaweka kisheria ili kulinda trustworthy, ulipaji kodi na usalama..na bado mengi ya kuzungumza
Karibu PM.....................