willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,083
- 1,328
Cheki Inbox nimekutumia ujumbeHabari zenu wakubwa ninatafuta partner wa kuingia nae mkataba, maana nina ujuzi kichwani wa kuwekeza kwenye sector ya ICT lakini sina pesa ya kuanzia nakuhakikishia kabisa faida ipo ndani ya mwezi wa kwanza tu wa kazi, ninatengeneza system za shule, hospitali, vyuo, supermarket, inventory, all management system etc.
Pia naweza networking yaan kutengeneza network ya office na server na kutroubleshoot. Kurepair na kumantain computer aina zote hardware na software. Website development and hosting au pia hata duka la vitu vya ict. Nakuhakikishia kuingizia company/workshop/duka faida ndani ya muda mfupi kwasababu ninaweza hivo vitu hapo juu kwa utaalam wa hali ya juu bila wasiwasi, hivo usiwaze kuwekeza hii sector ya ict inaingiza pesa nyingi hasa tukifungua office hap dar es salaam. Unatakiwa tu uwe na mtaji wako tusajiri tra, office furniture Meza na viti vitatu , one computer desktop mimi nina laptop yangu ya kupiga kazi nikiwa geto baada ya hapo tukifamikisha tuweze kupata deals za serikali za mamillioni maana ninuhakika na system nazofanya. Wekeza nami sasa. Karibuni
Mbinu ya kupata wateja ntawafata popote walipo na kuwashawishi kwann wanahitaji huduma zetu kwa muda kama huu.
Nb nimekosa deals nyingi kisa sina frame ya biashara
Habari zenu wakubwa ninatafuta partner wa kuingia nae mkataba, maana nina ujuzi kichwani wa kuwekeza kwenye sector ya ICT lakini sina pesa ya kuanzia nakuhakikishia kabisa faida ipo ndani ya mwezi wa kwanza tu wa kazi, ninatengeneza system za shule, hospitali, vyuo, supermarket, inventory, all management system etc.
Pia naweza networking yaan kutengeneza network ya office na server na kutroubleshoot. Kurepair na kumantain computer aina zote hardware na software. Website development and hosting au pia hata duka la vitu vya ict. Nakuhakikishia kuingizia company/workshop/duka faida ndani ya muda mfupi kwasababu ninaweza hivo vitu hapo juu kwa utaalam wa hali ya juu bila wasiwasi, hivo usiwaze kuwekeza hii sector ya ict inaingiza pesa nyingi hasa tukifungua office hap dar es salaam. Unatakiwa tu uwe na mtaji wako tusajiri tra, office furniture Meza na viti vitatu , one computer desktop mimi nina laptop yangu ya kupiga kazi nikiwa geto baada ya hapo tukifamikisha tuweze kupata deals za serikali za mamillioni maana ninuhakika na system nazofanya. Wekeza nami sasa. Karibuni
Mbinu ya kupata wateja ntawafata popote walipo na kuwashawishi kwann wanahitaji huduma zetu kwa muda kama huu.
Nb nimekosa deals nyingi kisa sina frame ya biashara
Habari zenu wakubwa ninatafuta partner wa kuingia nae mkataba, maana nina ujuzi kichwani wa kuwekeza kwenye sector ya ICT lakini sina pesa ya kuanzia nakuhakikishia kabisa faida ipo ndani ya mwezi wa kwanza tu wa kazi, ninatengeneza system za shule, hospitali, vyuo, supermarket, inventory, all management system etc.
Pia naweza networking yaan kutengeneza network ya office na server na kutroubleshoot. Kurepair na kumantain computer aina zote hardware na software. Website development and hosting au pia hata duka la vitu vya ict. Nakuhakikishia kuingizia company/workshop/duka faida ndani ya muda mfupi kwasababu ninaweza hivo vitu hapo juu kwa utaalam wa hali ya juu bila wasiwasi, hivo usiwaze kuwekeza hii sector ya ict inaingiza pesa nyingi hasa tukifungua office hap dar es salaam. Unatakiwa tu uwe na mtaji wako tusajiri tra, office furniture Meza na viti vitatu , one computer desktop mimi nina laptop yangu ya kupiga kazi nikiwa geto baada ya hapo tukifamikisha tuweze kupata deals za serikali za mamillioni maana ninuhakika na system nazofanya. Wekeza nami sasa. Karibuni
Mbinu ya kupata wateja ntawafata popote walipo na kuwashawishi kwann wanahitaji huduma zetu kwa muda kama huu.
Nb nimekosa deals nyingi kisa sina frame ya biashara
Nipm namba yako tuyajengeVp kwa mtu ambaye hafahamu chochote kuhusu ict lakini anaweza kuwa na msingi wa kuanzisha hicho unachokihitaji. Makubaliano yanasemaje
Asante kwa ushauri tatizo linakuja tu sina mtaji bado lakini naweza fanya hiko kituTengeneza product au serives kupitia ICT alafu iweke online, wateja wakutafute wewe na sio wewe utafute wataja. Kuwa focus na kitu kimoja ambacho utadeal nacho na hakikisa kina demand kubwa kwenye jamii. Ova
Asante kwa mchango wako unaweza ni pm tuongee vizuri piaShida ya secta ya ICT ni moja watu wa ict(programmers) wanajua ku code lakini hawana elimu ya biashara, Duniani kwa mujibu wa jarida la forbes kati ya tech startup zote 70%-90% zinakufa mwazoni tu baada ya kuanza kutokana na kudhani Idea' ni bora kuliko market ''timing demand'' izo idea zako nzur vp demand yake unajua kuna una jua competion kwenye market ipoje?' unajua ukianza tech startup na premium package ndo unajichimbia kufeli? umejipangaje kukabiliana na software za Oracle nanyingie' kwa msaada tu ili ufanikiwe kwenye tech campany kuwa na Tim hii "watu wa marketing + online marketing '2', accountant '1' ,developer 1-2(back-front end)'" hapo angalau unaweza kuanza vizur, Note in u'r brain: Usije ukaanza tech software ambayo unataka premium fee kwa miezi 6' ya kwanza acha watu watumie waipende ndo watakua tayari kuilipia..
....saiv nipo arusha kimasomo kuna project yangu moja nilikua nimepanga ianze mwakani Ungenifanyia kipindi hichi sema tu upo dar itakua ngumu, Nimeona uwezo wako ndo maana nilikua nataka nikupe offer....
GOODLUCK MKUU KWENYE PROJECT YAKO, UKO MBELENI NIPATE COMPETION
Asante kwa ushauri tatizo linakuja tu sina mtaji bado lakini naweza fanya hiko kitu