Natafuta nyumba ya kupanga

Natafuta nyumba ya kupanga

baba B

Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
30
Reaction score
3
Wadau habari. Natafuta nyumba ya kupanga iwe na vyumba kuanzia viwili au vitatu vya kulala including master. Priority mbezi beach knyama au kawe. Napenda nyumba ambayo ni self apartment na umeme si wa kuchangia. Kwa mwenye msaada plz ni pm
 
Mbona kimya jamani HATA kama una kimoja Selma atachagua
 
Wadau habari. Natafuta nyumba ya kupanga iwe na vyumba kuanzia viwili au vitatu vya kulala including master. Priority mbezi beach knyama au kawe. Napenda nyumba ambayo ni self apartment na umeme si wa kuchangia. Kwa mwenye msaada plz ni pm
Tabata segerea kuna nyumba ya jirani yangu naona ameeka tangazo inapangishwa. Nadhani ni three bed rooms master including. Sina uhakika sana lakini nadhani mpangaj aliyetoka alikua akilipa laki nne kwa mwezi
 
Kaka mi kazini ni victoria na kwa sasa nakaa kimara so nakimbia foleni maana natumia mda mwing sana barabaran
 
Kaka mi kazini ni victoria na kwa sasa nakaa kimara so nakimbia foleni maana natumia mda mwing sana barabaran

kwanini usitafute nyumba mitaa ya makumbusho,knyama,sinza,mwenge au kinondoni?
 
Kaka njoo kigamboni.ipo nyumba ina master bed room na sitting room.maji yapo .geti ni dk 10 toka ferry .pia kwenda kazi mkuu ni rais bcs asubuhi kwenda victory hakuna foleni na wakati wa kurundi jioni hakuna foleni.if serous contact 0713959290
 
Makongo Juu ni karibu pia na hapo kazini kwako. Kama unataka Sema nikuunganishe
 
Ni kweli joss ila makongo juu pana shida kubwa sana ya maji ukilinganisha na sehem zingune za mji huu
 
Jamaa ana bahati sana,naona nyumba zinamtafuta yeye badala ya kuzitafuta.
 
Asprin nadhan kuna hoja ambayo unayo na sijaijua. Kwan ni kosa kufanya kuchagua kwa mujibu wa ninachotaka? Je nafanya kwa kumpendeza mtu au nafanya ninavohitaji? Sioni mantiki ya kwann watu mnafanya kukurupuka ku comment non sense. I have choices brother.
 
Kaka njoo kigamboni.ipo nyumba ina master bed room na sitting room.maji yapo .geti ni dk 10 toka ferry .pia kwenda kazi mkuu ni rais bcs asubuhi kwenda victory hakuna foleni na wakati wa kurundi jioni hakuna foleni.if serous contact 0713959290
Hio yako ina vyumba vingapi na ni bei gani kwa mwezi??na unahitaji kodi kwa mwaka au miezi sita...fafanua plzz.
 
Asprin nadhan kuna hoja ambayo unayo na sijaijua. Kwan ni kosa kufanya kuchagua kwa mujibu wa ninachotaka? Je nafanya kwa kumpendeza mtu au nafanya ninavohitaji? Sioni mantiki ya kwann watu mnafanya kukurupuka ku comment non sense. I have choices brother.

Baba b unakaa kimara ipi? Na pia nyumba unayokaa ina specification gani,kwani nataka kuhamia kimara so ukihama basi nihamie hapo kama ntaridhika napo.
 
Asprin nadhan kuna hoja ambayo unayo na sijaijua. Kwan ni kosa kufanya kuchagua kwa mujibu wa ninachotaka? Je nafanya kwa kumpendeza mtu au nafanya ninavohitaji? Sioni mantiki ya kwann watu mnafanya kukurupuka ku comment non sense. I have choices brother.

Cool down young bro...... Don't take JF too serious.....:focus:
 
Anayehitaji nyumba ya kupanga self contained ipo mbezi Luis just one km from morogoro Road karibu PM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom