Natafuta nyumba ya kupanga

Natafuta nyumba ya kupanga

mwathu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
403
Reaction score
210
Habari,
Natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala, siting room jiko na choo cha ndani pia iwe na sehemu ya kupaki gari katika maeneo kuanzia victoria, makumbusho na mwenge Jijini Dar es salaam. Yeyote anaefahamu au mwenye uwezo wa kusaidia naomba msaada wake coz nimechoshwa na madalali. Natoa hoja.
 
Uko tayari kulipa Shilingi ngapi kwa mwezi?

nataka nipate quotations ili niweze fanya maamuzi basing on quality of the property, location and price, nahitaji nyumba ya kawaida tuu wadau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom