natafuta nyumba ya kupanga

natafuta nyumba ya kupanga

Asterisk

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
214
Reaction score
50
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo
1. Sinza
2. Kinondoni
3. Sayansi
4. Makumbusho
5. Mikocheni

Iwe ina sitting room, bed room, jiko, choo, na ka store kadogo.
Bajeti yangu ni kati ya 200K na 250K
Nipo serious ni PM au piga 0757579684
 
Sayansi hupataki?ipo kama ulivyosema,kodi 1m kwa mwezi unaweza kulipa kila miezi 2.PM kama unaiihitaji.
 
kuna nyumba ipo masaki. Full ina nyumba vinne park ya magari mawili, jiko na swiming pool. Nataka nihamia sehem nyininge.
inaenda kwa mwezi mil 15.
unalipa mwezi mmoja mmoja
 
kuna nyumba ipo masaki. Full ina nyumba vinne park ya magari mawili, jiko na swiming pool. Nataka nihamia sehem nyininge.
inaenda kwa mwezi mil 15.
unalipa mwezi mmoja mmoja

Duh hapo parefu sana
 
Kuna nyumba ipo maeneo ya kigogo inapangishwa vyumba 3, unaweza kugeuza kimoja kuwa sitting room na kubaki na vyumba viwili kwa laki 2 kodi ya mwaka. ni sehemu tulivu ni-pm km utavipenda.

Angalia PM mkuu,,
 
kuna nyumba ipo masaki. Full ina nyumba vinne park ya magari mawili, jiko na swiming pool. Nataka nihamia sehem nyininge.
inaenda kwa mwezi mil 15.
unalipa mwezi mmoja mmoja

Hiyo inanifaaa kabisa..! Ngoja niku PM kwa maelezo zaidi..! Lol
 
Hiyo bei uliyotaja, si rahisi kupata nyumba maeneo uliyataja. Kodi za huko ziko juu.
 
kuna nyumba ipo masaki. Full ina nyumba vinne park ya magari mawili, jiko na swiming pool. Nataka nihamia sehem nyininge.
inaenda kwa mwezi mil 15.
unalipa mwezi mmoja mmoja

mmmmhhhh....mwezi million 15 per month...au sijakuelewa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom