Natafuta nyumba ya kupanga

noella

Senior Member
Mar 21, 2011
101
46
Wadau natumai mu wazima.

Nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule,jiko, choo na bafu viwe ndani, iwe fenced na geti lake bila kushare, maeneo mazuri yaliyotulia ya mikocheni na kijitonyama.
natanguliza shukrani
 
Wadau natumai mu wazima.

Nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule,jiko, choo na bafu viwe ndani, iwe fenced na geti lake bila kushare, maeneo mazuri yaliyotulia ya mikocheni na kijitonyama.
natanguliza shukrani
nipigie 0657 14 5555, 0686 200117,0755 099 291 Thomas
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom