Heshima kwenu wakuu,
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kimara,sinza,tabata au magomeni.Nyumba iwe na bedroom 1 preferably self contained,sebule na kajiko.Privacy ni muhimu.budget yangu ni 200,000/= pm miezi sita.
Mwenye nayo naomba ani PM tafadhali.