Natafuta nyumba ya kupanga popote dar

Foundation

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
1,421
596
Natafuta nyumba yenye vyumba viwili, sebule,jiko na choo popote DAR ES SALAAM. Iwe ndani ya fensi na sehemu ya kupaki gari.

KODI YA MWEZI ISIZIDI LAKI MOJA NA NUSU ( 150,000/=)
 
popote? vipi haya maeneo
1.Manzese
2.buguruni kwa mnyamani
3.msasani bonde la mpunga
 
popote? vipi haya maeneo
1.Manzese
2.buguruni kwa mnyamani
3.msasani bonde la mpunga

Naamanisha sehemu ambayo naweza kupata nyumba yenye vigezo hivyo na kwa gharama hiyo. Huko hapana, usalama wa eneo husika ni muhimu sana na mazingira yawe mazuri ya nyumba na eneo husika
 
Natafuta nyumba yenye vyumba viwili, sebule,jiko na choo popote DAR ES SALAAM. Iwe ndani ya fensi na sehemu ya kupaki gari.

KODI YA MWEZI ISIZIDI LAKI MOJA NA NUSU ( 150,000/=)

Haina fensi, lakini nyumba 5 zinazojitegemea zimejengwa eneo la Kigamboni. wote tunaoishi hapo tuna magari. you may make your move through this number 0715414924 au 0767414924
 
Haina fensi, lakini nyumba 5 zinazojitegemea zimejengwa eneo la Kigamboni. wote tunaoishi hapo tuna magari. you may make your move through this number 0715414924 au 0767414924

Nashukuru sana, ila kama kuna mtu mwingine anajua sehemu nyingine yenye vigezo nilivyotaja naomba naye aseme
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom