natafuta nyumba ya kupanga haraka

natafuta nyumba ya kupanga haraka

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,673
Reaction score
3,739
Iwe mitaa ya sinza,kijitonyama mwenge ama mitaa ya mlimani city, iwe chumba na sebule ama vyumba viwili na sebule pamoja na choo
 
Chumba kimoja ama viwili na sebule laki 3?
Kipo kimoja jirani na geti maji chuo kikuu choo cha ndani laki 1 na elfu 20 kodi ya miezi 6 (anatakiwa single any gender) mpigie dalali Edu ana funguo namba zake 0765599808.
 
Kipo kimoja jirani na geti maji chuo kikuu choo cha ndani laki 1 na elfu 20 kodi ya miezi 6 (anatakiwa single any gender) mpigie dalali Edu ana funguo namba zake 0765599808.

Mkuu nahitaji viwili
 
Mkuu nahitaji viwili

Napangisha ya kwangu maeneo ya masaki, sevant kota, chumba na sebuke, choo na jiko ndani sh laki 5 na nusu. Iko umbali kidogo na main house, tunashea fance na geti, for singles only. Mimi mwenyewe sijaoa kwa hiyo sihitaji kelele na fujo za watoto for now.
Mimi ni mtu wa kusafiri sana nakuwa nchini kwa kipindi kifupi sana nataka mtu makini anayeweza kusimamia wafanyakazi wa mazingira na usafi wa nje
 
Back
Top Bottom