Natafuta nyumba ya kununua maeneo ya tabata

Natafuta nyumba ya kununua maeneo ya tabata

JOHNKEKE

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
1,310
Reaction score
1,466
Please I need it urgently, nyumba nzuri, self, isiwe ya zamani sana yenye fence na kiwanja kikubwa its my preference.
Mwenye taarifa tafadhali
 
50m iliyosimama, lakini maongezi yanaruhusiwa kulingana na nyumba halisi
 
Wajamemi nipeni habari, sitaki hii pesa iyeyuke naona kina dadac wananitolea macho
 
Wajamemi nipeni habari, sitaki hii pesa iyeyuke naona kina dadac wananitolea macho

Umeanza vizuri na unamaliza vibaya.
Maana kama vile pesa ni ya wizi au umepiga issue ambayo sio halali.

Maana kama unamiliki 50m halali,ni kwamba unamsingi mzuri wa maisha au biashara.Sasa kwanini uwe limbukeni namna hiyo na ugeni wa pesa.

Fika 75m uhamishe mtu
 
Umeanza vizuri na unamaliza vibaya.
Maana kama vile pesa ni ya wizi au umepiga issue ambayo sio halali.

Maana kama unamiliki 50m halali,ni kwamba unamsingi mzuri wa maisha au biashara.Sasa kwanini uwe limbukeni namna hiyo na ugeni wa pesa.

Fika 75m uhamishe mtu

Mkuu hiyo ni joke tu ichukulie hivyo, sorry kama nimewakwaza. Bt am seriously looking for it. Hiyo 75 hiko wapi mkuu, weka description kidogo.
 
mkuu nipigie namba hiyo 0755371297 na 0714753579. hiyo nyumba mi ninayo kama upo serious. ipo tabata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom