Iwe katika hali nzuri hata kama ni used... Aliyetayari aniPM bei yake tufanye biashara asanteni.
kama kuna sababu nyuma ya kuipata SIM aina hiyo inunue, lkn kama unatafuta SIM nzuri ysiingie usinunue taja bei ulionayo na matumizi yako tukushauri nzuri zaidi
kuna nokua e72 inafanya kila kazi uliyotaja hapo juuMkuu kwa bajet isiyozidi unaweza nisaidia kujua ni simu gani ninaweza kununua inayosaport pdf files,ppt files,document files,live streaming video na yenye kamera nzuri. Nitashukuru mkuu
Mkuu kwa bajet isiyozidi unaweza nisaidia kujua ni simu gani ninaweza kununua inayosaport pdf files,ppt files,document files,live streaming video na yenye kamera nzuri. Nitashukuru mkuu
tafuta galaxy poket galaxy y na galaxy mini zina Mambo yote unayo hitaji sema tu tatizo ni screen ndogo na betri hazikai sana na chaji kama Nokia. kama screen ndogo tatizo chukua Nokia e72 ni bora kwa e71. au e5 Mambo yote utayafanya.
hapa kashinda Nokia lkn usinunue e71 kama unauwezo wa e72 au e 5