LivingBody
Senior Member
- Nov 21, 2010
- 166
- 15
una sura kitabu (facebook) LOL
Inasaidia sana kupata wapendwa mliopotezana kwa muda
Ni ushauri mzuri. Kusema kweli mitandao ya jamii inasaidia sana kwa waliopoteana kuonana tena.
Kwa kukupa moyo tu mimi nilipoteana na niliosoma nao 1990-1995 na nimewapata wengi kupitia surakitabu!
Kuanzia mwaka 2007 tumeanzisha utaratibu wa kukutana mara moja kwa mwaka na huwa wanahudhuria wengi kutoka sehemu nyingi duniani.
Jitahidi Mkuu, utafanikiwa tu!
Hahahshhah loluna sura kitabu (facebook) LOL
Inasaidia sana kupata wapendwa mliopotezana kwa muda
Ni ushauri mzuri. Kusema kweli mitandao ya jamii inasaidia sana kwa waliopoteana kuonana tena.
Kwa kukupa moyo tu mimi nilipoteana na niliosoma nao 1990-1995 na nimewapata wengi kupitia surakitabu!
Kuanzia mwaka 2007 tumeanzisha utaratibu wa kukutana mara moja kwa mwaka na huwa wanahudhuria wengi kutoka sehemu nyingi duniani.
Jitahidi Mkuu, utafanikiwa tu!
haya bwana naona Leo
umeamua kunivamia kwenye sura
kitabu haya mkuu..
asante
Hahahshhah lol
haya bwana naona Leo
umeamua kunivamia kwenye sura
kitabu haya mkuu..
asante
No dear, don't take it in such way! Kinyume chake nimeipenda sana yako kuliko yangu "Surakitabu".
Kwani lugha nini? Ni maneno tu yanayowakilisha dhana na watu wanakubaliana. Nimeipenda sana.
Asante kwa kunibudisha huku nikisubili.All the best mkuu
hopeful itawapa ta uwatafutao..
kama unasura kitabu (facebook)
Inasaidia sana kupata wapendwa mliopotezana kwa muda
Wakati unasubiri subiri walengwa
naomba usiwe bored sana burudika na
Sean Paul Ft Rihana ...BREAK IT OFF..
Peace..
una sura kitabu (facebook) LOL
Inasaidia sana kupata wapendwa mliopotezana kwa muda
Ni ushauri mzuri. Kusema kweli mitandao ya jamii inasaidia sana kwa waliopoteana kuonana tena.
Kwa kukupa moyo tu mimi nilipoteana na niliosoma nao 1990-1995 na nimewapata wengi kupitia surakitabu!
Kuanzia mwaka 2007 tumeanzisha utaratibu wa kukutana mara moja kwa mwaka na huwa wanahudhuria wengi kutoka sehemu nyingi duniani.
Jitahidi Mkuu, utafanikiwa tu!
asante, nitajitahidi kwa njia zote zile.
Hahahshhah lol
haya bwana naona Leo
umeamua kunivamia kwenye sura
kitabu haya mkuu..
asante
Ila yote ni mapokeo.
No dear, don't take it in such way! Kinyume chake nimeipenda sana yako kuliko yangu "Surakitabu".
Kwani lugha nini? Ni maneno tu yanayowakilisha dhana na watu wanakubaliana. Nimeipenda sana.
Hahahahahahahah lol
usijali my dear nway
Nadhani karibu mnakaribia ijumaa
kipande hiyo ya dunia lol
Nway enjoy Michael Jackson ... WILL YOU BE THERE..
Kumbe nyie ni watoto wadogo wa jana
Asante kwa kunibudisha huku nikisubili.
itaangalia na huko kwenye Kitabu cha sura pia.
Kumbe nyie ni watoto wadogo wa jana
Jamani wewe mbongopopo
jana mbali hivyo ..dahhh
Endelea kujianika tu.Habari wana jamii,
Najaribu kutafuta watu nilopotezana nao muda mrefu, nisoma nao na kuishi nao.
mimi nilimaliza shule ya msingi Mgulani, Dar mwka 1990, enzi za Mwl Mkuu Mama Mwakianjala, na Mwl Masawe.
kuna watu ambao nawakumbuka kama kulikuwa na jamaa mmoja mkuu wa kikundi cha ngoma,, Mohamedi Mbuju, huyu tulimaliza nae shule na jamaa akina Mkundwe Mwasaga, Filbert Garusi na wengine,
Sekondary, nimesomea Montfort, Rujewa.
so, kama humu jamvini tumo pasi tuwasiliane,, plz
asanteni.
Endelea kujianika tu.