Abdallah Mwaipaya ndiye anafuga au?Kule Same . Wapo wengi.
Mtafute Abdallah Mwaipaya.
Chap kidogo utawapata
Utafanya vipi sasa? Kama ni Uarabuni nikuunganishe na muuzaji na mtu wa mizigo kampuni ya Emirates akuletee ngamia wako.Asanteni kwa mawazo mazuri..ntafanya hivyo
Mkuu ni Punda ile ndugu yake na Zebra inayobeba mizigo barabarani au punda ile inayoongea na kubeba "mizigo" kwenda ughaibuni ?Atakayetaka punda me nipo tuchekiane PM wakuu
Location singida
Hiyo sura niyakumkalisha ngamia ili achinjwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Niliwaona Dodoma Vijana Wakipanda
Ngoja Nikiwaona Nitauliza Wa Kununua. Uwe Unajua Kusoma Surrat ~Zubaa 😆😅😄😃😂😁😀
Unamchinja Taratibu Huku Unacheka 😂😁😀Hiyo sura niyakumkalisha ngamia ili achinjwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣