IbrahimTechNerd
Member
- Aug 4, 2021
- 60
- 55
Wakuu nimerudi kwenu tena, nipo dar es salaam natafuta nafasi ya kazi. Kazi yoyote inayo husu computers naweza fanya!. Data entry, Microsoft Office works, computer software repair and maintenance. Na nyingine nyingi zilizopo katika fani hii..
Kama inahitajika cheti basi nina Astashaada ya Computer Science. Umri wangu miaka 23.
Asanteni!.
Kama inahitajika cheti basi nina Astashaada ya Computer Science. Umri wangu miaka 23.
Asanteni!.
