MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,528
- 21,812
Binadamu hakomi kutafuta matatizo.
Yaani taabu sanaBinadamu hakomi kutafuta matatizo.



Mtaani wote wameoa,Madem n weng sn mtaan ktendo chakutafuta mitandaon ni udhaifu km mtoto wa kiume .... Ebu amka usingzn
Kila la kheri ila mbona unaonekana mbabe sana 😐Jinsia Ke,
Rangi maji ya kunde,
Miaka 27
Nna mtoto mmoja,
Nimejiajiri huduma za Afya,
Natafuta mwenza wa maisha,
Awe maji ya kunde na mrefu ,
Umri 32-35,
Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri
Awe serious na mahusiano
Kama huna vigezo acha maneno mabaya sio lazima uonekane umecomment kila mtu anafanya anachoona sahihi
Umepata bibie chungulia dirishani hapo nimekuja na midoli ya kuchezea mtoto





uncle umejikamilishaHahahahuncle umejikamilisha
Kila la kheriJinsia Ke,
Rangi maji ya kunde,
Miaka 27
Nna mtoto mmoja,
Nimejiajiri huduma za Afya,
Natafuta mwenza wa maisha,
Awe maji ya kunde na mrefu ,
Umri 32-35,
Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri
Awe serious na mahusiano
Kama huna vigezo acha maneno mabaya sio lazima uonekane umecomment kila mtu anafanya anachoona sahihi
Usiwe serious sana! Npo hapa kukuombea Mungu akupe hitaji la moyo wakoKama vinahusika njoo tuweke mkuu
Uzuri F ndugu
Shukranii MkuuHaya kila la kheri..
Kada ya afya, usisahau kupita mahospitalini, maduka ya madawa uweke matangazo huko..(utani tu)

Mama vumilia yote mbele za wote ni sawaSingle mother ana shida Gani??hafai kupenda/kupendwa?
Mkuu ebu nipe mbinu, huko out ni wapi? Kama mimi nikitoka basi nimeenda bar, ofisi iko home sitoki siku nzima, kanisani pia siendi!Wanawake wanaojitambua hawataki wanaume dhaifu wa kulialia! Toka! (Go out there) jichanganye utaona manzi wa kila aina chagua, mwaga sera, oa!