Natafuta mwenza wa kiume

Natafuta mwenza wa kiume

mwajei

Senior Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
129
Reaction score
38
Habari JF Members,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm

Wasifu Wangu:

Mkristo
Mi ni mnene
Mrefu cm 178
Maji ya kunde
mwajiriwa (Non -Government)
 
ahaaa mwajei weee...... vp kuongeza mtoto imo??
 
Habari JF Members,

Mimi ni mama wa mtoto mmoja nahitaji mwenza aliye serious.
Mwanaume ninayemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 34-45.
Awe tayari kuwa baba wa mtoto niliyenaye, awe na upendo wa kweli.
zaidi kuhusu mimi karibu Pm
nitumie picha yako ukiwa umevaa chup.i
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom