Mkuu uko serious ..?Habari wadau,
Aisee kwa mtu yeyote anaeweza uandishi wa story za movie anicheki tufanye kazi.
Hapana ,hakuna kisichozungumzika ...mtaelewana tu ,mtaanza pamoja .Yeah ipo serious, sema huyo si atataka hela nyingi nami ndio naanza
unataka story au script kabisa?Habari wadau,
Aisee kwa mtu yeyote anaeweza uandishi wa story za movie anicheki tufanye kazi.