Kuna mkaka anatafuta mdada mwenye umri kati 30 na 45. Kama unakidhi vigezo mcheki Mlima meru
nimechoka usumbufu wa vijana
simwagi mchele kwenye kuku wengi
Hujui kuwa huwezi kumkamata kuku mtamu na aliyenona bila kumwaga mchele? Mwaga mchele mama upate kuku mtamuuuuuuuuuuuuuuuuuu
nimechoka usumbufu wa vijana
Kama nimekusoma vizuri ni kuwa vijana wanakusumbua sana na umechoka sasa unatafuta mbaba awacharaze viboko sio?
Na awe single ili ikitokea kijana akakusumbua hata usiku wa ma-tisa basi umuite aje fasta kumtandika fimbo bila vikwazo vya kuulizwa na mke wake anakwenda wapi, au sio?
Nafurahi mimi tu ndo sijatafsiri kingono maelezo yako teh teh teh!
Kama nimekusoma vizuri ni kuwa vijana wanakusumbua sana na umechoka sasa unatafuta mbaba awacharaze viboko sio?
Na awe single ili ikitokea kijana akakusumbua hata usiku wa ma-tisa basi umuite aje fasta kumtandika fimbo bila vikwazo vya kuulizwa na mke wake anakwenda wapi, au sio?
Nafurahi mimi tu ndo sijatafsiri kingono maelezo yako teh teh teh!
vigezo vyake ni tofauti na vyangu