Natafuta mwanamke

Simplicity.

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
2,636
Reaction score
1,664
Natafuta mwanamke, sifa:

1. Awe mzuri au mzuri kiasi

2. Asiwe mke au mme wa mtu

3. Awe hajawahi kuolewa au kufanywa mchepuko, kama ana bikira ni added advantage

4. Awe na tabia nzuri

5. Awe ni mtu ambaye yupo tayari kusafirisafiri, nje ya nchi na mikoani au aliyeko nje ya nchi, asiwe mwoga kupanda ndege (aeroplane)

Kwa mwenye nia na anayetaka kujua zaidi kuhusu mimi, anipm.
 
Reactions: waj
Namba 3 akiwa hajatumika utamtunuku kitu gani ambacho hajakipata duniani?????????????
 
hahaha! bolo mateso kupanuliwa kwa sana,,, alafu kwani kwenye Ndoa hakuna jingine lakufanya zaidi ya tendo la Ndoa???
Wenzio wanalitaka hilo bolo huoni kila siku wanalia na vibamia?
 
Duu! We unatafuta punda wewe sii bure...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…