Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,326
Reaction score
7,529
Umri wangu miaka30,makazi yangu Dar,dini ni mkristo,sijaajiriwa(sina kazi)naahidi kumpenda kwa dhati atakayenipenda,pia niko tayari kuishi popote pale ndani ya Tanzania,hakuna mashariti njoo tupendane nimechoka na ubachela nahitaji kuishi na mke ili tujenge familia bora

Karibuni PM
 
Mke mwema cku zote hutoka kwq Mungu dumu katika maombi kaka yng Mungu huwa hachelewi wala hawai alilolikusudia ktk maisha yako lazima alitimize2
 
Kila siku naingia Jf sioni PM,hakuna masharti karibuni wapendwa
 
Back
Top Bottom