Natafuta Mwanamke Wa Kuoa?

Natafuta Mwanamke Wa Kuoa?

mmp

Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
33
Reaction score
2
Mimi ni mwanaume,umri wangu ni 30 natafuta mke wa kuoa.Naishi Dar es salaam kwa mawasiliano zaidi ni pm usisahau kuweka namba ya Simu.Ni mwajiriwa,Elimu yangu ni Chuo.
 
utampa nyumba na gari, maana nimepitia post nyingi za kina dada humu ndani wote wanazungumzia pochi ndeeefu
 
Mkuu umesahau kuweka kazi au biashara unayofanya bila kusahau elimu yako .
 
Kazi/Biashara ni sawa, ila elimu mbona kaitaja; ingawa akili ya ziada inahitajika kuitambua..."elimu Yangu Ni Chun."

Kila la Kheri Ablessed

Mkuu umesahau kuweka kazi au biashara unayofanya bila kusahau elimu yako .
 
Kazi/Biashara ni sawa, ila elimu mbona kaitaja; ingawa akili ya ziada inahitajika kuitambua..."elimu Yangu Ni Chun."

Kila la Kheri Ablessed
Oooh kukmbe keshataja basi awasubiri watakuja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom