Dada tangu naanza JF leo kwa mara ya kwanza nimekutana na hitaji la kipekee.....Hivi yule mdogo wetu aliyekataa shule darasa la 4 una taarifa zake maana tusipomshtulia hii fursa atakua mzigo kwetu baadae.[/QUOTE
Mbona watu mnashangaa hivyo sana jamani, inaonekana haijawai tokea toka dunia kuumbwa nn? . Naona kwenye elimu ya chekechea hapo ndo watu wengi wanashangaa hasa kwa graduate kuandika kuwa hata chekechea ruksa, mwenzenu sioi elimu ya mtu bali naoa mtu bas, ndo mana elimu sio kipaumbele sana kwangu.hiv katika biblia mke wa adamu alikuwa na elimu? Narudia tena hivyo ndo vigezo vyangu na mm ndio ntakaeishinaye sio mtu mwingine