Natafuta mwanamke wa kuoa

hivi kumbe ni mmu nkajua nipo jukwaa la nafasi za kazi na tenda
Dada tangu naanza JF leo kwa mara ya kwanza nimekutana na hitaji la kipekee.....Hivi yule mdogo wetu aliyekataa shule darasa la 4 una taarifa zake maana tusipomshtulia hii fursa atakua mzigo kwetu baadae.
 
Ukereketwa wa haki sawa maana yake ni nini? vigezo vingine navi meet ila hiyo sijaelewa mchumba mtarajiwa?

Namaanisha kuwa asiwe muumini/ mfuasi wa haki sawa kama inavyoaminika na baadhi ya watu kwa nyakati hiz kuwa mwanamme ana haki sawa na mwamke katika mambo yote , mm naamini mwanamke na mwanamke wana haki sawa kwa baadhi ya mambo tu na siyo yote kabisa, kuna baadhi ya mambo mwanamke atabaki kuwa mwanamke na mwanamme atabaki hivyo kutokana mungu alivyo onyesha katika maandiko mfano imeandikwa enyi wake muwa tii waume zenu kama kanisa linavyomtii kristo, na waume muwapende wake zenu. Hayo maandiko yanadokeza waz kuwa kati ya mme na mke mmoja ni kiongozi wa familia coz anayetakiwa kutii hapo ni mke, hivyo naamini katika katika kushauriana na msemaji wa mwisho juu ya maamuz ni mme, na mke atabaki kuwa mshawishi nasio muamuzi wa mwiasho. Efeso 5: 22- 25
 
Mbona kawaida tu....nna watu kibao mi nawajua kusoma wamejulia ukubwani ila ni wanasaka pesa na wamefanikiwa hadi kero

..unaifahamu elimu ya chekechekea lakini mpaka iwe kawaida.....
..kwenye red..wa ngapi kati ya wangapi mpaka iwe ni ''kawaida''
 
 
..unaifahamu elimu ya chekechekea lakini mpaka iwe kawaida.....
..kwenye red..wa ngapi kati ya wangapi mpaka iwe ni ''kawaida''

Elimu ya chekechea si yule ambaye hajaingia shule ya msingi....kuhusu hao watu mi sijawahi kuwafanyia sensa nikajua ni ngapi kwa ngapi
 
 
Dada tangu naanza JF leo kwa mara ya kwanza nimekutana na hitaji la kipekee.....Hivi yule mdogo wetu aliyekataa shule darasa la 4 una taarifa zake maana tusipomshtulia hii fursa atakua mzigo kwetu baadae.

Kaka unataka kuwa na shem donozege hapana bana kwanini atongozee nyuma ya keyboard
 
Huo ukereketwa wa haki sawa mimi hoi

Jf never boreng
 
Elimu ya chekechea si yule ambaye hajaingia shule ya msingi....kuhusu hao watu mi sijawahi kuwafanyia sensa nikajua ni ngapi kwa ngapi

...uchache wao/wingi wao ndio itaonesha kama ni kawaida ama la...
 
...haibadilishi ukweli si kawaida...elimu ya msingi ni basic(foundation level)......a compulsory(unajua kwa nini)...

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…