B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 375
Wadau!
Baada ya kuzinguliwa ukweni kwamba nimechelewa kupeleka posa, nimeamua kutafuta mwanamke mwingine,
Mimi ni mwanaume, mfanyakazi, nina umri wa miaka 28, elimu yangu ni degree,
Natafuta mwanamke umri miaka 20-27 elimu yake form 4 na kuendelea, awe ameajiliwa. Awe na upeo wa kimaisha na anayejitambua.
Aliye tayari ni-PM.
Baada ya kuzinguliwa ukweni kwamba nimechelewa kupeleka posa, nimeamua kutafuta mwanamke mwingine,
Mimi ni mwanaume, mfanyakazi, nina umri wa miaka 28, elimu yangu ni degree,
Natafuta mwanamke umri miaka 20-27 elimu yake form 4 na kuendelea, awe ameajiliwa. Awe na upeo wa kimaisha na anayejitambua.
Aliye tayari ni-PM.