Natafuta Mwanamke wa kuoa

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
495
375
Wadau!

Baada ya kuzinguliwa ukweni kwamba nimechelewa kupeleka posa, nimeamua kutafuta mwanamke mwingine,

Mimi ni mwanaume, mfanyakazi, nina umri wa miaka 28, elimu yangu ni degree,

Natafuta mwanamke umri miaka 20-27 elimu yake form 4 na kuendelea, awe ameajiliwa. Awe na upeo wa kimaisha na anayejitambua.

Aliye tayari ni-PM.
 
Wadau!

Baada ya kuzinguliwa ukweni kwamba nimechelewa kupeleka posa, nimeamua kutafuta mwanamke mwingine,

Mimi ni mwanaume, mfanyakazi, nina umri wa miaka 28, elimu yangu ni degree,

Natafuta mwanamke umri miaka 20-27 elimu yake form 4 na kuendelea, awe ameajiliwa. Awe na upeo wa kimaisha na anayejitambua.

Aliye tayari ni-PM.

Mke huyu hapa:
https://www.jamiiforums.com/love-connect/665465-natafuta-mume-wa-kunioa-2.html#post9658079


all the best, age is nothing but a number!
 
Wadau!

Baada ya kuzinguliwa ukweni kwamba nimechelewa kupeleka posa, nimeamua kutafuta mwanamke mwingine,

Mimi ni mwanaume, mfanyakazi, nina umri wa miaka 28, elimu yangu ni degree,

Natafuta mwanamke umri miaka 20-27 elimu yake form 4 na kuendelea, awe ameajiliwa. Awe na upeo wa kimaisha na anayejitambua.

Aliye tayari ni-PM.

aiseeeeeee... all the best
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom