Natafuta mwalimu wa kuoa

Ardhi ni ngumu kuipata alafu sio rahisi kupata soko maana barabara ya kwenda mwanza ni mbovu sana ambapo tungepata soko la mazao yetu.

lima safirisha wakati wa kiangazi. kuna mazao ya arthi hiyo hujatafiti tu . anyway tuache mwenzetu anatafita mwenza tunaleta uchumi humu
 

PICHA YA HUYO DADA MWENYE Ph.D TAFADHALI MKUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…