Unataka mwalimu wa levo/ elimu gani? Kuna dada mmoja (mbichi) ni mwalimu na kamaliza PhD ya kiswahili hivi karibuni, sina taarifa (up date) kama keshapata 'bwana' ila kama unataka nikusogeze hapo kwa dada msomi mwenye PhD yake nitakupa tafu... Wala usipate shaka...