Naomba Mwenyezi Mungu , asikie haja ya moyo wako, Inshalaah kheri , utapata. Endelea kufunga na kuomba atakupatia mwenye kheri na wewe , na akuepushie mwenye shari na wewe.
toa sifa ati..za ustaadh wako unataka aweje, atakuja babu wa miaka 70 akati we una miaka 30...afu uturudie baadae na kuatafute mwingine.........toa sifa watu wajichuje wenyeweeeeeeeeeeee
nime fika , arafu unabahat nilikua nampango wa kuowa lakini na ghairi kwaaji yako . Nini sifa nyinga , ucheshi, uvumilivu muelewaji , pia nifundi mzuli2 wa mambo ye2 yaleee! Chengina mm ni mtu wa pwani. Najua usha elewa nncho maanisha. Ukini2nuku nitafute pm.