Natafuta mume

Bibie ushaanza kumaaliza ujana eeeeeh??😎😎
 
Usimchanganye zeshchriss katika hili. Mitazamo yetu haikinzani na amejiona muda umefika ndio maana anatafuta mume.

Issue hii imekuja baada ya Rebeca 83 kusema 26 ni mdogo.

Acha upotoshaji kiddo
Lakini brother alichomaanisha yeye Ni kwamba awe makini..
Asije akafanya tu Ili mradi kwasbu ndoa Ni taasisi kubwa..
Sidhani kama Kuna sehemu yoyote ameongea kwamba huyu mtoa Mada asitafute mwanaume.

Kosa lake liko wapi hapo?
 
Mkuu, wenye vitambi ndo umetuDiss sio!


Unapata dhambi.
 
PM
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…