Huo umri na was was utakuwa unataka umsaidie kula hela yake ya penssion si vingnevyoMm ni msichana nimeajiriwa serikalini natafuta mume anayejua thamani ya mwanamke. miaka 35 - 45. akitokea Dar, Tanga, moshi, pwani na moro.
akiku PM mzibua vyoo utaskia hoo samahan nishampata sasa Wadau angalien na penssion zenyewe kwa utawala wa magu itakuwa laki 5

Mm ni msichana nimeajiriwa serikalini natafuta mume anayejua thamani ya mwanamke. miaka 35 - 45. akitokea Dar, Tanga, moshi, pwani na moro.
duuuh hii sasa shigdaYAANI TOKEA NIKUAMBIE NISUBIRI KWANZA NIKUCHUNGUZE NDIO UMEKUJA HUKU KUPOSTI UNATAFUTA MUME KWAMBA HURIDHIKI NA MAPENDO YANGU ?View attachment 382683