Natafuta mume mwenye umri kati ya miaka 33-36

vp kuhusu degree, kazi, nyumba, gari... sijui anaye care na blah blah zenu kibao mnazoletaga hapa....
Hahahahaha!
Awe na kazi nzuri, nyumba nzuri, gari nzuri, hela nzuri, anayejua to care vizuri, anayenipenda kwa dhati. .........

Blah blah blah sitaki kusikia
 
Mungu husikiliza kilio cha mja wake na hujibu kwa wakati anao ona inafaa kuwa mvumilivu na huku ukimwelekea muumba wako atajibu ombi lako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom