mchumi tumbo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 832
- 988
Guest ni kuanzia 7k unalala zipo zimejazana tu.Kama unataka guest ukifika mtwara chukua bodaboda halafu muelekeze akupeleke guest za hiyo bei atakupeleka but muambie iwe maeneo ya town itakuwa rahisi kwenda hapo bandari secondary.Halafu chakula usihofu mtwara chakula bei chee buku unakula unashiba bajeti ikibana unakula hata mihogoVipi guest mkuu?
Kwa akili hizi tusitegemee vijana critical kwa Sasa. Kwa nn mnapenda mteremko? Msaada una gharama zake Mdogo wangu. 2004 NIliwahi kwenda interview Mtwara nikiwa na 50,000/= tu nikalala Guest 5,000/= . Japo Hapo Nina ndugu wengi tuAnayestahili kupewa hifadhi inafaa mkutane naye wapi?
Usirudie tena huo mchezo wa kutafuta mitandaoni. Wewe dogo utaishia kuingiliwa na wanaume wenzio.Hello wana Jamvi nilikuwa naomba hifadhi ya kulala Hapo mtwara kwa muda wa siku tatu, Ninakuja huko kwa ajili ya interview Vitu kama chakula ntajitegemea au kama patakuwa na utaratibu wa kupika pia ntachangia, Nina documents zote ambazo zitakutoa shaka kabisa na ukao wangu hapo kwako Wasi wasi ni akili ivo ntajitahdi kukuonesha proof zote kuwa mimi mgeni salama, Interview inafanyikia Bandari sekondari na Employer ni TANESCO , Sijawahi kufika mtwara naomba pia anae jua gharama za Guest hapo zikoje anijuze ili option namba moja iki fail ni opt hio ya pili, Asanteni sana
Jinsia yangu ni ya kiume
Age 25
Yeye anataka "mtu" wa kumpa hifadhi, huenda mtoa mada Ana upweke so anataka kumtunuku yeyote Happ ntwaraGuest ni kuanzia 7k unalala zipo zimejazana tu.Kama unataka guest ukifika mtwara chukua bodaboda halafu muelekeze akupeleke guest za hiyo bei atakupeleka but muambie iwe maeneo ya town itakuwa rahisi kwenda hapo bandari secondary.Halafu chakula usihofu mtwara chakula bei chee buku unakula unashiba bajeti ikibana unakula hata mihogo
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Akikosa option ya kukaa kwa mtu inabidi aende guest house/lodge. Hoteli ni ghali!Ofisi za TANESCO zipo mahala panaitwa BIMA.. Ndo pekee penye taa za barabarani (Trafic lights) kwa Mtwara nzima.... Bandari sekondari ipo umbali kama wa 1kM toka hapo Bima. Hotel iliyopo karibu zana na hapo Bandari sekondari gharama ni 25,000/- kwa 20,000/- kwa siku kwa chumba. Chakula Mtwara ghari kidogo maana almost kila kitu kinatoka nje ya Mtwara.
Best option ni kulala hotel.. hayo ya kulala kwa mtu ni magumu, unless awe ndugu au unafahamiana naye kabla...
All the best, karibu Mtwara..
Hiyo dogo hajajua watu sio wa kuwaamini. Unamapata hela ya kwenda Mtwara na kichati halafu unakosa elfu Saba ya lodge? Apache upuuzi tumechoka kuona mashoga mtaani.Yeye anataka "mtu" wa kumpa hifadhi
Hiyo stage nilishaga vuka mbona! Ila elewa kuna watu wanafanyiwa favor na kuvuka vizuri tu.Uzuri kasema chaguo la kwanza likishindikana,atajump to option 2.Kwa akili hizi tusitegemee vijana critical kwa Sasa. Kwa nn mnapenda mteremko? Msaada una gharama zake Mdogo wangu. 2004 NIliwahi kwenda interview Mtwara nikiwa na 50,000/= tu nikalala Guest 5,000/= . Japo Hapo Nina ndugu wengi tu
Mungu akuponye, kijana anahitaji msaada wa maana we unamsogeza kwa makahaba, unamwaribia uzi mwenzioPia huko bei za yale mambo yetu sio kubwa sana.
Unaweza maliza interview ukaendelea kubaki.
All the best mwamba.
Hongera kwa kuitwa kwenye usaili. Binafsi, nashauri tafuta guest/lodge yenye gharama ambazo utazimudu na ufikie hapo. Kwa umri ulionao kuna suala la privacy nakadhalika. Mara nyingi, cheap is expensive. Kila lakheri kwenye usaili.Hello wana Jamvi nilikuwa naomba hifadhi ya kulala Hapo mtwara kwa muda wa siku tatu, Ninakuja huko kwa ajili ya interview Vitu kama chakula ntajitegemea au kama patakuwa na utaratibu wa kupika pia ntachangia. Nina documents zote ambazo zitakutoa shaka kabisa na ukao wangu hapo kwako wasiwasi ni akili ivo ntajitahdi kukuonesha proof zote kuwa mimi mgeni salama.
Interview inafanyikia Bandari sekondari na Employer ni TANESCO , Sijawahi kufika mtwara naomba pia anae jua gharama za Guest hapo zikoje anijuze ili option namba moja iki fail ni opt hio ya pili.
Asanteni sana.
Jinsia yangu ni ya kiume.
Age 25
Option no 2 is the best.
Ngoja waje wa "Ntwara kuchele"
Hongera kwa kuitwa kwenye usaili. Binafsi, nashauri tafuta guest/lodge yenye gharama ambazo utazimudu na ufikie hapo. Kwa umri ulionao kuna suala la privacy nakadhalika. Mara nyingi, cheap is expensive. Kila lakheri kwenye usaili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi akifunguka mengi akakwambia hata hela ya nauli anatarajia kuomba kwa mtu ambaye kamwahidi atampa siku ya mwisho ya safari yake utasemaje, kuna magumu kwenye maisha ukisimuliwa Huwezi amini utaona unaishi paradisini.Kwa akili hizi tusitegemee vijana critical kwa Sasa. Kwa nn mnapenda mteremko? Msaada una gharama zake Mdogo wangu. 2004 NIliwahi kwenda interview Mtwara nikiwa na 50,000/= tu nikalala Guest 5,000/= . Japo Hapo Nina ndugu wengi tu
Ungekua KE ningekukaribisha hapa geto kwangu mitaa ya MagomeniHello wana Jamvi nilikuwa naomba hifadhi ya kulala Hapo Mtwara kwa muda wa siku tatu, Ninakuja huko kwa ajili ya interview Vitu kama chakula ntajitegemea au kama patakuwa na utaratibu wa kupika pia ntachangia. Nina documents zote ambazo zitakutoa shaka kabisa na ukao wangu hapo kwako wasiwasi ni akili hivyo nitajitahdi kukuonesha proof zote kuwa mimi mgeni salama.
Interview inafanyikia Bandari sekondari na Employer ni TANESCO , Sijawahi kufika Mtwara naomba pia anayejua gharama za Guest hapo zikoje anijuze ili option namba moja iki fail ni opt hio ya pili.
Asanteni sana.
Jinsia yangu ni ya kiume.
Age 25